.post-body{ -webkit-touch-callout: none; -khtml-user-select: none; -moz-user-select: -moz-none; -ms-user-select: none; user-select: none; }

0
Magari milioni 1.4 aina ya jeep kurudishwa Magari milioni 1.4 aina ya jeep kurudishwa

Kampuni ya magari ya Fiat Chrysler kutoka Marekani imeyarudisha magari yake yapatayo milioni 1.4 baada ya watafiti wa usalama kuonyesha ...

Read more »

0
Mtambo wa simu bandia za iphone wavamiwa Mtambo wa simu bandia za iphone wavamiwa

Kampuni iliyodaiwa kutengeneza simu bandia 41,000 aina ya Iphones kutoka kampuni ya Apple imevamiwa huko Uchina na watu 9 kukamatwa. Op...

Read more »

0
Facebook kukutambua bila picha ya uso Facebook kukutambua bila picha ya uso

Tayari mtandao huo wa kijamii wa Facebook unakusanya taarifa kutoka katika picha zako ili kubaini migao ya maoni kutoka kwa marafiki wak...

Read more »

0
Kondomu inayotambua maambukizi ya Zinaa Kondomu inayotambua maambukizi ya Zinaa

Wanafunzi katika shule moja nchini Uingereza wameunda mipira ya kondomu inayowaonya watumiaji wanapojamiana na mtu aliyeambukizwa marad...

Read more »

0
Alama yawaelekeza wateja kwenye ngono Alama yawaelekeza wateja kwenye ngono

Kampuni ya chakula Heinz imeomba msamaha baada ya alama ya siri katika mkebe mmoja wa Tomato Ketch Up kuwaelekeza wateja katika mtandao...

Read more »

0
Google sasa yakubali kuondoa picha za uchi Google sasa yakubali kuondoa picha za uchi

Waathiriwa wa picha za ngono katika mtandao wa Google wataruhusiwa kutuma ombi kwa kampuni hiyo la kuziondoa picha hizo. Picha hizo zita...

Read more »

0
Roboti kuchukua kazi za raia Australia Roboti kuchukua kazi za raia Australia

Takriban asilimia 40 ya kazi nchini Australia ambazo zipo kwa sasa huenda zikapotea katika kipindi cha kati ya miaka 10 hadi 15 ijayo ....

Read more »

0
Magari milioni 34,kurejeshwa viwandani Magari milioni 34,kurejeshwa viwandani

Takriban magari milioni thelathini na nne 34,000,000 yanatarajiwa kurejeshwa viwandani nchini Marekani kufuatia hitilafu ya kiufundi kwe...

Read more »

0
Magari yanayojiendesha yahusika na ajali Magari yanayojiendesha yahusika na ajali

15 Mei 2015 Imebadilishwa mwisho saa 17:49 GMT Wiki hii tumegundua kwamba magari manne kati ya 48 yanayojiendesha bila dereva ...

Read more »

0
JE SIMU INAWEZA KUKULETEA SARATANI YA UBONGO ? JE SIMU INAWEZA KUKULETEA SARATANI YA UBONGO ?

Katika mazingira ya sasa ambapokaribu kila kitu na kila sekta mambo yanaendeshwa kwa teknolojia ya mawasiliano kwenye simu, kom...

Read more »

0
Kwenye zile kubwa za Dunia,kutana na Daktari aliyesahau simu ya Mkononi kwenye tumbo la mgonjwa.. Kwenye zile kubwa za Dunia,kutana na Daktari aliyesahau simu ya Mkononi kwenye tumbo la mgonjwa..

Stori ambazo zimewahi kuripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari na kuingia kwenye headlines mbalimbali ni zile ambazo tunasikia mara kw...

Read more »

0
KANYE WEST ATUNUKIWA SHAHADA YA UDAKTARI WA HESHIMA KANYE WEST ATUNUKIWA SHAHADA YA UDAKTARI WA HESHIMA

RAPPA Kanye West wa nchini Marekani jana ametunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima kutoka Taasisi ya Sanaa ya Chicago nchini Marekani. ...

Read more »

0
UMAKINI ZAIDI UNAHITAJIKA KWA WATUMIAJI MITANDAO. UMAKINI ZAIDI UNAHITAJIKA KWA WATUMIAJI MITANDAO.

Ukuaji wa Sekta ya TEHAMA umekuwa wa mafanikio na msaada mkubwa katika kuharakisha, kuboresha na kurahisisha utoaji wa huduma kwa wananchi...

Read more »

0
UMUHIMU WA USHIRIKIANO KWENYE VITA DHIDI YA UHALIFU MTANDAO UMUHIMU WA USHIRIKIANO KWENYE VITA DHIDI YA UHALIFU MTANDAO

Nianze mada hii kwa kurudia pongezi kwa rafiki yangu Bwana Joe, Kwa kuongezewa nguvu na Nchi yake ya Marekani. Tayari taarifa rasmi ya hili...

Read more »

0
 PROGRAM TUMISHI YA M-PESA YAWA MIONGONI MWA PROGRAM TUMISHI ZINAZOWAWEKA MAMILIONI YA WATU MTANDAONI KWA KUTUMIA SIMU PROGRAM TUMISHI YA M-PESA YAWA MIONGONI MWA PROGRAM TUMISHI ZINAZOWAWEKA MAMILIONI YA WATU MTANDAONI KWA KUTUMIA SIMU

Mwaka  2013, Mwenyekiti Mtendaji wa Google Eric Schmidt alikisia kuwa duniani kote watu watakuwa kwenye mtandao mwishoni mwa karne. Kuna...

Read more »

0
Wanasayansi watengeza mbegu za kiume Wanasayansi watengeza mbegu za kiume

Seli za mbegu za kiume zimetengezwa katika maabara kwa mara ya kwanza na hivyobasi kuwapa matumaini wanaume wasio na uwezo wa kupata wat...

Read more »

0
Kwa wanaodata na gari za Rolls Royce, hili ni lao kwenye toleo jipya !! Kwa wanaodata na gari za Rolls Royce, hili ni lao kwenye toleo jipya !!

Rolls-Royce ni moja ya magari ya kifahari ambayo mimi nimezoea kuyaona tu kwenye video za Mastaa wakubwa wa muziki duniani na ni moja y...

Read more »

0
Maajabu mengine ya teknolojia ni kwenye hii gari.. nii ndogondogo na bado inaweza kujipunguza ukubwa..(VIDEO) Maajabu mengine ya teknolojia ni kwenye hii gari.. nii ndogondogo na bado inaweza kujipunguza ukubwa..(VIDEO)

Kuna malalamiko ya foleni kwenye miji mikubwa Duniani, hii ishu hata Dar ipo pia.. ukacha hilo kuna ishu ya parking.. inawezekana ume...

Read more »

0
 FAHAMU SIMU ZINAZOWEZA KUPATA HUDUMA YA WINDOWS 10 PREVIEW FAHAMU SIMU ZINAZOWEZA KUPATA HUDUMA YA WINDOWS 10 PREVIEW

Microsoft wametoa matoleo mengine ya simu za Nokia yanayoweza kupokea Mfumo Endeshi wa majaribio kwa wateja wa Windows 10 kwa simu....

Read more »
 
 
Top