.post-body{ -webkit-touch-callout: none; -khtml-user-select: none; -moz-user-select: -moz-none; -ms-user-select: none; user-select: none; }

0

AW1A5405

Mtandao njia mpya kubwa ya mawasiliano kwa kila mtu hivi sasa, World Lung Foundation wameona wasogeze hii huduma kwa kila mtu ambapo itakuwa rahisi tu mtu kuhudumiwa kwa njia ya mtandao.
Huduma hiyo imezinduliwa leo Dar, World Lung Foundation imerahisisha kwa kuisogeza huduma hii ambayo itasaidia kutoa huduma kwa akina mama wajawazito ppamoja na watoto kwa njia ya mtandao.
Tunajua kuna changamoto ya uhaba wa vituo vya huduma za afya, lakini hii njia ya mtandao itasaidia kwa kiasi kikubwa watu kupata msaada hata katika vituo vidogo vya afya.
AW1A5300
Mfumo huu wa kutumia mtandao utasaidia wafanyakazi wa vituo vya afya kuongeza uwezo wao wa kutoa huduma katika kliniki za huduma za afya.
AW1A5310
AW1A5312
Waziri wa Afya Dk. Seif Rashid akihojiwa na waandishi wa Habari kwenye uzinduzi huo.
AW1A5357
AW1A5365
Waziri Seif Seleman Rashidi
AW1A5372
Maria Sarungi Tsehai
AW1A5382
AW1A5390
AW1A5399
AW1A5405
Waziri Seif Rashid akizindua mfumo huo.
AW1A5409
AW1A5538
AW1A5553
AW1A5563
AW1A5576

Post a Comment

 
Top